MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2025

 




Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limesema watahiniwa 937,581, sawa na asilimia 81.8 ya watahiniwa milioni 1.14 wenye matokeo, wamefaulu mtihani wa kumaliza Elimu ya Msingi mwaka 2025.



0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post