SINGIDA BLACK STARS YAMSIMAMISHA KAZI PATRICK AUSSEMS

 



Klabu ya Singida Black Stars imewasimamisha kazi Kocha mkuu Patrick Aussems na msaidizi wake Denis kitambi kufuatia mwenendo usioridhisha.

Timu itakuwa chini ya Ramadhan Nswanzirumo na Muhibu Kanu kwa wakati ambao hawatokuwa kazini Makocha hao.




0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post