Kocha Miguel Gamondi amefuta utambulisho kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram uliokuwa ukimtambulisha kama kama Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga SC.
Gamondi amefuta utambulisho huo kipindi hiki kukiwa na tetesi za kufutwa kazi kufuatia kupoteza mechi mbili mfululizo za Ligi Kuu ya NBC.


Post a Comment