Mkeka wa Ligi Kuu Bado unapumua na Bado kesho KVZ ya Zanzibar itaialika Simba Sc kwenye kipute cha kuwania ubingwa wa Kombe la Muungano. Mchezo huo utapigwa saa 2:15 usiku katika uwanja wa Amaan Zanzibar utaonyesha taswira kwa Simba kama bado wanaweza kutimua vumbi Kwenye michuano hiyo na kulisaka Kombe la Muungano.

Post a Comment