Simba kusaka Milioni 50 Muungano



Wakati KVZ ikiialika Simba katika mchezo wa kwanza wa Ligi ya Muungano leo kuanzia saa 2:15 usiku katika Uwanja wa Amaan, timu zinazoshiriki zimetangaziwa zawadi ya Sh50 milioni kwa itakayobeba ubingwa.

 

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post