Kama tutaendelea kufungwa hivi tutakuwa tuna hali mbaya – Pochettino
bySR SPORTS TZ-
0
Baada ya kichapo cha mabao 5-0 walichokipokea Chelsea kutoka kwa Arsenal kimemuibua kocha wa Chelsea, Mauricio Pochettino na kusema iwapo kikosi hicho kitaendelea kupokea kichapo basi hawastahili kucheza michuano mikubwa ya Ulaya (Klabu Bingwa & Europa Ligi).
Post a Comment