Breking News Mtangazaji wa Mpira TBC Afariki Dunia

 




Mtangazaji maarufu wa mpira wa miguu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Ramadhani Swedy Mwinyi amefariki dunia.




Swedy Mwinyi amefariki dunia leo Mei 12, 2024 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili - Mloganzila iliyopo Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post